kwa sasa watu wengi wanasubiri mikopo kwa hamu kubwa,wengi wao wana umri mkubwa kuliko wewe sasa sio vyema kuwadanganya na kuwarusha roho kiasi hicho.siku zote taarifa zako zimekua hazina tija kabisa.muungwana asipokua na la kusema huwa ananyamaza tu na kusikiliza wengine,sio lazima kuandike...
jamani mbona mie nimekua admitted hapo sua lakini jina langu halionekani kwenye website ya sua,au tcu ilikua danganya toto?tafadhali wale wanaojua lolote tutoane wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.