Mheshimiwa Lukuvi chonde chonde usileete mzaha kwenye masuala ya msingi,kuwa muangalifu na kauli zako au taarifa unazoletewa na wasaidizi wako.Suala la bomu usiweke propaganda.
Kuna kitu cha msingi ambacho kwa mzalendo wa taifa hili unakipata bila kujali itikadi za kisiasa. Ni busara kutafakati mara mbili au zaidi juu ya maelezo haya.
Ndugu wakristo sipendi nionekane kuwa na shabiki wa udini la hasha, lakini kwa usalama wa wakristu ni bora wakajitenga na waislamu ili tuone watakachofaidi kwa maana kila siku wakristo ndiyo wanaomwaga machozi kutokana na vitendo wanavyofanyiwa na waislamu.
Tusitegemee serikali kutaja jina la mwislamu katika jambo hili maana kufanya hivyo kutachochea hasira za wakristo. Naona ubaguzi wa kidini unainyemelea Tanzania yetu. Mungu tuokoe na hili balaa
Kigwangala karibu chadema kaka naona umeona mbali kuwa 2015 CCM hutoki, njoo huku kwa waungwana wanao jua nini maana ya demokrasia. Hongera kwa kumuunga mkono Zitto
Hakuna sababu ya kuwa na tume ya uchunguzi inayoundwa na majeshi pekee. Kama ni hivyo nawaomba waandishi wa habari kuunda tume ya uchunguzi hata kwa kuomba msaada wa ulinzi toka nje ya nchi. Ni vigumu kupata ukweli kutoka kwa tume hiyo ya polisi iwapo jeshi la polisi lilitangaza uongo kuhusu...
Kwa mauaji haya ya polisi na kusingizia kuwa wana cdm ndiyo waliofanya hivyo ni sababu tosha ya kumfikisha kikwete the hague. Kwani hao plisi wanafanya hivyo kwa maelekezo ya wakuu wao ambao waliteuliwa na kikwete.Chonde chonde polisi acheni kuua watu ili muwafurahishe mabosi wenu ambao wana kaa...
Juzi juzi nilisoma kuwa DC mmoja kalia kutokana na madudu yanayofanywa na halmashauri fulani, sawa inaonesha DC huyu ana uchungu wa maendeleo, hata hivyo mtu kama DC enzi zetu tulikuwa tuna waita ma area commisioner kulia ni jambo la aibu.Haitoshi DC mwingine ana mdharirisha mwana taaluma ya...
Nilikuwa na baba yake Nape kwenye vita ya kagera. Baba yake yaani mzee moses nnauye alikuwa muadilifu na mzalendo wa kweli kwa nchi yake. Nashangaa mwanaye anakosa uzalendo na nchi yake. Mara nyingi "anaropoka" siyo kuongea na audience.Nina kushauri nape ww ni "public relations officer wa CCM"...
Ninapenda kuwa mkweli hasa katika masuala yanayohusu siasa za nchi hii. Tangu CUF na CCM walipofunga "ndoa" Zanzibar CUF imefunikwa.Tazama Seif Hamad anakabidhi Vespa pasi na mvuto.Hamad namaanisha Seif sharif Hamad aangalie upya namna atakavyorudisha imani ya wana CUF katika kipindi hiki cha...
Huyo DC anadhani akilia ndiyo atabadilisha hali ya mambo? Utendaji huo mbovu ni kwa halamashauri nyingi hapa nchini. Na wenye ndevu za waya naamaanisha waliowaweka madarakani wakurugenzi wa aina hiyo wanaona hakuna shida. sasa we DC unaanza kulia ili iweje, kama una uwezo piga chini hao watendaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.