Kuna debate kali inayoendelea hivi sasa ndani ya bunge la Norway kutokana na serikali ya Nchi hiyo kuwekeza kiasi cha US $235.3 million kwenye kampuni ya Barick huko Bulyang'ulu. Pesa hizo ambazo ni mfuko wa pension nchini humo, umesababisha kinyaa miongoni mwa wananchi baada ya kutambua kuwa...
Nimepata hii e-mail nadhani inatoka bungeni nimeona niipost hapa.
Mimi nasema,kama kweli atafanya anachokizungumza.Atanipa imani ila nitafanya hivyo tu baada kuona Watu wote waliohusishawa na kashfa zooote kubwa wanakamatwa,wanafilisiwa na kufikishwa mahakamani,bila kujali vyeo au majina yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.