:violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin:
Napenda kuwaarifu students wa first year UDSM kuwa tayari admission letters zimeshaanza kutolewa chuoni. Kwahiyo kama mtu unaweza kufika chuoni unaweza kufika na kukollect letters zako ikiwa ni pamoja na kupiga...
HODIIIIIIIIIII! Mimi ni mdau mpya katika hii forum ya jamii.Kwanza ninayo furaha kubwa sana kujiunga na hii kitu na najua kupitia hii kitu naweza kulonga vitu vingi sana bila msirimkali kunifungia kwa muda usiojulikana kama gazeti la mwanahalisi. Ninatamani ningekuwa nimejiunga tangu zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.