Vodacom imeingia hapa nchini lini. Nadhani ni mwaka 2002. NSN imeingia hapa nchini lini? SIna hakika lakini nadhani ni kabla ya 2005. Kwa nini madai haya hawa wazawa wa Vodacom na NSN wamekaa nayo miaka yote na sasa wanayaleta leo yaani 2012?
Ni wazi kabisa kuna jambo limetokea na hivyo...
Mkuu,
Hata list ya wafanyakazi wa Vodacom na hata Kampuni zingine ni ya msingi. Ukiwa na list nzima ndipo utazimia kwani asilimia zaid ya 40 utagundua kuwa kazi za Vodacom zinafanywa na foreigners.
Wakati huohuo taifa linaendelea kuuchapa usingizi huku likiota ndoto za kupunguza ukosefu ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.