Ninaomba unisaidiye kujibu yafuatayo:
1. Ikiwa nimepata loan 100% ninatakiwa niende na kiasi gani wakati wa usajili?
2. Je, kuna vyumba vya kupangisha karibu na chuo?
Rafiki yangu unahitaji kujua yafuatayo.
1. Mitihani mingi ya Tanzania inapima fitness ya mtu ya siku moja kwa ikiwa mtahiniwa atakuwa unfit siku ya mtihani ndiyo basi.
2. Mtu kufeli mtihani siyo kwamba amefeli kila kitu kwenye maisha.
3. Chuo ni level tofauti sana na sekondari, mtu anapimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.