Kwangu mimi kampeni ya 2015 siyo tatizo, tatizo langu ni uhai wake kabla ya 2015 utakuwa salama kwa mwendo huu. Ubunge si haki yake ya kikatiba.
Ndo maana nikashauri apunguze kasi. Wanaweza wakamLWAKATARE AU kumbambikia kesi tesha kama akina Kileo na wenzake.
Hawa ndio wana ccm ambao siyo matajiri,
Yusuf Manji,
Naziri karamangi,
Mbunge wa Rorya airo,
Mbunge wa babati vijijini,
Kinana - mwizi wa pembe za ndovu.
wabunge kibao,
mawaziri kibao.
Huna aibu.
Jana Aweda alinifurahisha sana kwenye ile kipindi yao ya malumbano ya hoja ya kwenye ITV kuliko mtu mwingine yeyote.
Mada ilikuwa inasema, MADAWA YA KULEVYA KUANGAMIZA VIJANA WETU NA WATANZANIA, NINI KIFANYIKE?
Kamanda wangu Aweda aliibua bifu la Reginald Mengi na Godrefy Nzowa. Nzowa alikuwa...
Mbona hoja ya kuisifia CCM na ujenzi wa miundo mbinu haizungumzwi? Au haina jibu? Dawa ya kosa ni kutubu siyo kuficha. kwa akili ya Mbuni tutaendelea kuwa wapinzani daima dumu. Mimi siko tayari kwa hilo. Bosi wetu alichemka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.