Umeambiwa unaanza kazi au unatakiwa uingie kwenye Mafunzo?.
Kama mafunzo anza kuaga kabisa kunyumba maana watu wana masomo Saba semester ya kwanza. Suruali lazima zikupwaye!
Jamaa wana mbwenbwe sana...tunapimwa kama wacheza mpira!.
Badala watusome Saikolojia waone kama ni majipu au laaa wameshikilia CT Scan sijui ushuzi gani.....na majibu wabaki nayo wenyewe mimi wanipe ofisi na meza tu na kule CRDB mzigo uwe unatiririkaa
Wakuu Custom tayari. Mimi leo nilifuata barua yangu ya Asst Tax, nikakutana na jamaa yeye ana barua ya Custom na anasema alipigiwa simu tangu Jtatu.
Sina ushahidi mwingine.
Inaweza kuwa na Ukweli. Mi waliuliza 'When will you be available if TRA wants you' nikatiririka kuwa at any time T. Na walivyonianbia we need to hear about you starting from College nikavurumisha madude weeeee sikusema kama nina sehem ya kuzugia.
Wanangu wawili wapo Auditing firm, walifunguka...
Sasa hapa nimeamini. Nimepigiwa simu muda si mrefu.
Namba hii hapa 0222117327 mdada anasema Mafunzo yanaanza tar 16 May Jtatu chuo cha Kodi. Tafadhali kama unaenda Toi beba simu yakoooo .......
Mungu anisaidie nisiende kuwa Jipu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.