Acha ujinga wewe kwa kuleta taarifa ya uongo hapa jukwaani. TPDC kwa mtumishi anae anza kazi hapati kiasi hicho cha mshahara ni uongo na isitoshe TPDC wanalipwa mshahara moja kwa moja kutoka Hazina kwahiyo tafuta taarifa utajua ukweli,lakini acha kupotosha jamii. JamiiForums futeni hii thread...
Stahiki yake kama Mbunge,yani ofisi ya Bunge inapaswa kugharamia matibabu kwa mbunge yoyote anaepata matatizo ya ugonjwa hili suala halihitaji mjadala ni stahiki za mbunge
Hapa tatizo ni chuki tu ndiyo imetawala, maama kama ingekuwa ni mbunge wa ccm amepata hayo matatizo basi wala mjadala...
Jeshi la polisi linajidhalilisha mno,yaani kumkamata mtu mmoja tena Mbunge,eti wamwkwenda na magari zaidi ya matatu
hapo hakuna lolote hizi zote ni mbinu chafu za kudhohofisha upinzani Iringa Mjini,na huu ni mkakati wa chama cha kijani kujiandaa kupora jimbo la Iringa Mjini.
Wabunge wa upinzani wanaweza kupeleka hoja bungeni kudai tume huru ya uchaguzi lakini kwa bunge hili lenye uwingi wa ccm hili suala halitokuja kukubalika asilani
Labda siku ambayo Mwenyezi akipenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.