Search results

  1. chuttah

    CHADEMA mkoa wa Pwani watoa tamko lao kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini

    Kijana acha kuweweseka punguza mihemko fanya kazi mjini hapa buku 7 zinakaribia ukingoni kwa maana mradi mzuri sasa ni ACT
  2. chuttah

    CHADEMA mkoa wa Pwani watoa tamko lao kuhusu hali ya kisiasa ilivyo nchini

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoa wa Pwani akisoma tamko la mkoa kuhusu hali ya kisiasa iliyojitokeza na sintofahamu kupitia mamluki wanaojiita Wanachama wa Chadema kutoa matamko yanayokinzana na mwenendo halisi wa chama kwa kutumiwa na mamluki waliofukuzwa ndani ya...
  3. chuttah

    Viongozi wa chadema waache kiburi

    Tena sio hisia tu hizo ni hisia mgando zilizokosa maono na uchambuzi yakinifu kwa maana ya kuongea kwa mihemko ila kumbukeni tu CDM ni taasisi hivyo ina kanuni na taratibu zake katika kujiendesha.
  4. chuttah

    CHADEMA yatoa Tamko kulaani matendo ya Balozi wa China

    Ndio wajenga hoja tulionao watanzania wanaofikiri kwa kutumia ma------ kama huyu asiyejielewa sijui ndio buku saba hizo za lumumba.
  5. chuttah

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    nazani tufike mahala tuwe na mioyo ya kibinaadam sheikh ponda kama wengine ni binaadam kama wengine serikali inashindwa nini kukaa meza moja na ponda na kusikiliza madai yake na kuyafanyia kazi ama kujibu hoja zake nini shida kwa serikali haipendi kuwaona waislamu wakiwa na chombo chao huru...
  6. chuttah

    Ponda havumiliki

    Hakika wengi hawamjui sheikh ponda zaidi ya kusikiliza propaganda chafu zinazoenezwa juu yake ila serikali ina haki ya kutambua wakimpoteza ponda leo watazaliwa kina ponda 100,000 kwa mwaka hadi watakapokuja tambua na kuwaacha waislamu wajisimamie wenyewe kama zilivyo dini nyingine.
  7. chuttah

    Makamba: Mnyika acha Unafiki, sote tumeshindwa Bungeni!

    Jamani mbona maelezo yanajieleza au ndio huwa twachangia bila kusoma mada imeanzia wap wap kosa katika hili hadi tuwalaumu na wabunge wa chadema maana washasema wakati magamba wanapitisha hili wao walikuwa Mkoani arusha wakishiriki mazishi ya wananchi waliolipuliwa na ahhh sijui nan yule sasa...
  8. chuttah

    Hukumu Kesi ya Mgomo wa Walimu: Mgomo ni batili

    polen walimu hao ndo viongozi wenu wajanja wajanja na serikali iliyoshindwa kuwasaidia wananchi wake kwa kupenda kukimbilia mahakaman kulinda udhalimu wao poleni sana
Back
Top Bottom