Kishada kwenda ALIJOJO, ninamaanisha ya kwamba, unapotaka kurusha kishada lazima uwe na uzi ambao ni mgumu na hautakatika kirahisi, halafu unapokipaisha kitapaa kulingana na urefu wa kamba yako na pia upepo uwemkali kidago, ule uzi ukifika mwisho, mpaishaji hurelax na hata kukifunga kishada ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.