Hayo ya hela sina uhakika, ila ajira ya mkwe wake ni kweli. Ila kwa sasa hayupo AU tena, alibadilishiwa ajira. Huyo binti alimaliza Law UD mwaka 2000 kama sikosei
Mike na Mac, pole zangu kwa walioteswa bila sababu na laana zangu kwa wale waliojaribu kuteka uhuru wa JF.
Nimeamini kuwa pen name inalipa, laiti waJF wangekuwa wanatumia majina yao, mambo yangekuwa mengine sasa hivi
Sebene linaendelea
Hii habari ina ukweli sana tu. Maana mienendo ya magazeti inajionyesha. Maro ooh mtabiri katabiri nini maro lile. Hizi ni dalili kuwa JK anawaza kumrudisha kundini kondoo wake aliyejitosa porini. Lowassa hasafishiki hata kwa magadi na chlorine!
Kwako JK; ni vizuri nikuonye kama mtu mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.