Jaman wapendwa napenda kuchukua fursa hii kuwashkuru wote walionipigia kura na wasionipigia na my campaign managers Slave, zubedayo_mchuzi, Baba V, @st.paka mweusi, Kipipi na figganigga kufanikisha kuwa mshindi no.2. Pia nimshukuru Ruhazwe JR kwa kuratibu zoezi zima pamoja na kuwasilisha...
Napenda kuthibitisha kupokea zawadi. Nawashukuru wote walionisupport nawapenda sana nathamini mchango wenu bila kura zenu nisingeweza kupata nafasi hii. Nawapenda sana
Wapendwa wana chitchat naombeni kura zenu za nusu fainali mpaka fainali. Jamani tafadhalini sana tena sana nichagueni ili niwe miss chitchat wenu. Naombeni ushirikiano wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.