Haya ni mawazo yangu na fikira huru.
Mchakato wakumpata mgombea urais kupitia CCM ulivutia sana, hata watu wakaufurahia na kuushangilia sana ki ukweli hata mimi mwenyewe nilikua carried away.
Nikajifunza mambo machache kutoka hapo:
Mfumo (system) ina nguvu kubwa sana hata...
Nina shangaa sana namna unavyo fikiri...Tanganyika ilivyopata uhuru ilikua na serikali changa kabisa kuliko hata UKAWA,serikali wakati huo iliundwa kwa kuokoteza watu na mambo yalikwenda vizur tu kitu cha msingi ni kuwa na watu waadilifu na wachapa kazi...swali la msingi liwe: Je unaridhika na...
Please!please!, ndugu zanguni, tusipoteze focus yetu kuelekea Tanzania bora,misukosuko inayoendelea CHADEMA inarudisha nyuma mampambano,ndio, ni kweli kabisa,ila, misukosuko kama iyo ni ngumu kuepukika either iwe na misukumo ya ndani au nje,jinsi utakavyo itatua itaku-define wewe mbele ya watu ...
"In the future, it is possible that a Second Party will grow in Tanganyika, but in one sense such a growth would represent a failure by TANU." - Julius Kambarage Nyerere, 1968.
Baada ya TANU kushindwa kutekeleza mambo iliyo waahidi Wa-Tanganyika kwa kipindi kile,ili declare failure na...
Tanzania haiko shwari, mambo hayaendi sawa madini tunaibiwa,meno ya tembo tunaibiwa tukiuliza tunapigwa longo longo tunapotezea maisha yana kwenda sio sawa kabisa.
Sera yetu iwe ni UZALENDO kwa nchi yetu,CCM isipo endana na sera yetu,tunawamwaga,watakao ingia madarakani na wao(CHADEMA)...
Sio pensheni wanadai,wanachodai ni mafao ya utumishi kutokana na miaka walio fanya kazi,golden shake hand pamoja na kiinua mgongo kama ilivyo ainishwa kwenye mikataba yao ya kazi
wafanyakazi wa zilizokua hoteli za serekali zilizoko ngorongoro, Serengeti,Manyara, Lobo na Mafia wanaidai serekali stahiki zao halali baada ya kuachishwa kazi mwaka 2003 wakati wa ubinasfishaji wa kishenzi uliofanywa na Mkapa.
Mwaka 2004 wabuge wa majimbo zilizoko hoteli izo waliiandikia PSRC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.