Kama utakuwa ni mkweli wa moyo wako utaona hoja nyingi tu za maana ambazo zimetolewa na wapenda mabadiliko wa kweli, kama nia yako ni kuona wachangiaji wanapinga hii makala kwa maneno yale ya kitoto mliyozoea kule mtaa wa ................. basi nakusikitikia sana.
Lakini fahamu kuwa bado una...
Mnasikitika kuona vibaraka wenu wanaondolewa kwa hiyo mmeamua kuleta hoja za kitoto kwa ajili ya kuwatetea.
Napenda kuhakikishia kwamba kuna kundi kubwa la Watanzania ambao hawajajitokeza bado waziwazi na wanakiunga mkono chama cha CHADEMA pamoja na uongozi uliopo pamoja na maamuzi...
Makala nzuri sana, makala hii inatoa mwelekeo wa Taasisi ya namna gani Watanzania na wapenda mabadiliko wote nchini wangependa kuiona CHADEMA inakuwa, ni makala ambayo itakifanya chama cha CHADEMA kuwa taasisi bora na imara sana nchini Tanzania kiasi cha kuweza kukifananisha na vyama vikubwa vya...
Tatizo ni kwamba wameajiri Division 5, sasa sio rahisi kwa Division 5 kupambana na wasomi wa kweli wanaojitambua na wenye uchungu na mapenzi ya kweli na nchi yao.
Nafikiri tatizo la kina kabisa sio Zitto Kabwe, Zitto Kabwe amekuwa tu kama kondoo wa kafara, kwa bahati mbaya ni kwamba labda anafikiria kwamba harakati hizi zitamsaidia kwa namna fulani kufikia malengo yake na anaziunga mkono chini chini au labda hana jinsi ya kuzikemea kwa sababu zinaratibiwa...
Nasikia msafara wa mheshimiwa rais ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa chama chetu tukufu kinachoongoza nchi yetu ya Tanzania ulishawahi kupatwa na dhahama ya kurushiwa mawe, mbona hujaweka katika historia hapa kwamba ''mheshimiwa ..................... ambaye ni mwenyekiti wa chama chetu tukufu cha...
Hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaa, imebakia kucheka tu kwa hoja zako, maana ndio hoja zilizobakia, kila siku hoja yako ni hiyohiyo, ''Chama cha Kilaghai'', umebakia kupumulia hoja moja tu, sijawahi kusoma ukitetea sera za chama chako, sijawahi kusoma ukielezea utekelezaji wa ilani za uchaguzi...
Ni kipindi kirefu sasa tumeendelea kusomaPropaganda za kijinga za CCM mpaka imefikia muda sasa zimetushosha, labdaniwaambie kwa kifupi kuwa WAKATI NI UKUTA na KILA KITU KINA WAKATI WAKE,hatukatai kwamba toka serikali yetu iliyo chini ya CCM imeruhusu kwa shingoupande mfumo wa vyama vyingi...
Moja ya sifa nzuri kwa binadamu yoyote yule ni KUJITAMBUA,binadamu anapojitambua anaweza kuelezea mawazo na msimamo wake kwa ufasaha nakuusimamia.
Naamini wale wote ambao mpaka sasa hivikufuatana na maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya kuwavua nafasi zao za uongozialiyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa...
Moja ya sifa nzuri kwa binadamu yoyote yule ni KUJITAMBUA,binadamu anapojitambua anaweza kuelezea mawazo na msimamo wake kwa ufasaha nakuusimamia.
Naamini wale wote ambao mpaka sasa hivikufuatana na maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya kuwavua nafasi zao za uongozialiyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa...
Huu mjadala inabidi ufikie tamati ili watuwaweze kufanya mambo mengine, wale walio wa Zito Kabwe na waende naye, na walewalio wa CHADEMA watabaki CHADEMA.
Katika wa gazeti la Mwananchi la tarehe 12.11.2013 kulitoka habari yenye kichwa cha habari kifuatacho "Tisa mbaroni wakidaiwa kumjeruhi Dk Mvungi", katika habari hii ilielezwa kuwa (nanukuu) "Dar es Salaam. Polisi imekamata watu tisa wanaotuhumiwa kumvamia, kumjeruhi kisha kumwibia Mjumbe wa...
Kwa kipindi cha takribani mieziminne nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki zimepita katika kipindi kigumuambacho kimeshuhudia utengwaji wa baadhi ya nchi zilizomo katika jumuiya hiyona mpaka kutishia uhai wa jumuiya hiyo ya Afrika Mashariki.
Inadaiwa baada ya mkutano wa Aprili28, mwaka huu mjini...
Kwa kipindi cha takribani mieziminne nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki zimepita katika kipindi kigumuambacho kimeshuhudia utengwaji wa baadhi ya nchi zilizomo katika jumuiya hiyona mpaka kutishia uhai wa jumuiya hiyo ya Afrika Mashariki.
Inadaiwa baada ya mkutano wa Aprili28, mwaka huu mjini...
Ni mdandiaji wa hoja tu huyo, anatafuta hoja ambayo anaona itampatia umaarufu wa haraka haraka ndio anajifanya kuishikilia na kujifanya kuitolea maelezo marefu ambayo yanakuwa ni marudio ya yale waliyoyasema wenzake, suala la kipumbavu analolifanya ni kuleta hoja hizo huku kwenye mitandao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.