Chama cha Ccm Baada ya kulubuniwa na mtela mwampamba pia na juliana shoza kuwa wanaweza kuibomoa chadema,sasa leo mbozi mtela amuomba baba yake mzazi kupokea kadi ya ccm pia ameomba viongozi wa chama kwenda kuchukua wanachama kata za mbali,naibu katibu mkuu wa ccm "Mwigulu nchemba"anackitika...
Naomba ni watahadhalishe wanambeya kuwa masalia ya chadema wamekuja mbeya,JULIANA NA M.Mwampamba,
Muwe makini sana wanambeya,Masalia wanafanya kazi na ccm mkoa wakiwa na katibu mwenezi ccm wa wilaya ya mbozi,
Wanasema wataivuruga chadema mbeya,wanachadema Mjipange
chazo kimoja cha habari kimebaini kuwa serikali kwa kukilinda chama tawala inadai kuwa serikali haina pesa za chaguzi ndogo kwa madai hayo wanaipa ccm kujiandaa zaidi na kujipanga kiusalama zaidi na kuweka mabomu ya machozi ya kutosha,wakati sheria inasema kuwa jimbo,kata,kijiji,kitongoji,lisewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.