Ni kweli tupu Mtoi. Mzee Lukuvi ameandika sura yenye mvuto mkubwa sana katika mchakato wa historia ya uchaguzi wa vyama vingi hapa Tanzania. Ama kweli tumeelewa ni nini kinachosababisha vurugu katika chauzi zetu za kisiasa. Mungu mlinde LUBUVA na wote tuseme AMINA
Lyceum: Kwa kiasi fulani nakubalianan na wewe kwamba utandawazi ni tatizo mojawapo linalochangia kupunguza umakini katika masomo. Lakini ni zaidi ya hili mbona wanafunzi wa vijijini kusilkokuwa na hizi luxuries ulizozianiasha hawakufanya vizuri zaidi? Tanzania tusipoangalia tutakuwa taifa la...
Rutashubanyuma: I like your good analysis. Salim would be a very good presidential candidate regarding his integrity only if the current political system is overhauled. However, the CCM system that exists today is too wickedly complicated to undo to bring it to its original political intent...
FJM: si uongozi wa polisi na usalama wa taifa tu wanaotakiwa kujiuzulu bali ni serikali nzima, ya CCM. Mambo haya yote yanatokea kutokana ni kauli mbali mbali, mienendo, upendeleo, uzembe nk. katika kuendeleza udini ambayo kimsingi ni uvunjaji wa Katiba ya nchi yetu pendwa TANZANIA.Wananchi...
Wakristo tujiulize hivi kweli tunamwamini Yesu Kristo ipasavyo? Kama ndiyo hatuna haja ya kulumbana na mambo ya aina hii. Yesu anatutosha katika kila hali hata kutakasa vile tunavyovila. Wakristo wa kweli tujikite katika kuleta maendeleo kwa njia ya amani na si vinginevyo la sivyo nchi itaingia...
Pasco: Mbona hata Dar kuna wanaotumia kuni ni mkaa ilihali gesi ya kupikia sio tatizo? Umefanya utafiti gani na kufikia hitimisho la kuwa wana Mtwara hawajui wala kuwahi kutumia gesi? Tafadhali usizidi kupaisha hasira za watu wa Mtwara. Jambo muhimu na la msingi kwa sasa ni wananchi walioko...
Shizukan, Bibi mpe heshima yake si kibibi! Kama ni kweli aliyekwenda kwake ni kutoka serikalini kutoka Usalama wa Taifa kumsihi Bibi aende nae Dar, basi serikali ya CCM ndiyo primitive kupindukia! Maendeleo yatakuja kwa kushirikisha wananchi wa hadhi na hali zote!!! Inclusiveness of all...
Mwanangu Mohamed Mtoi, maswali yako ni ya msingi sana. Yanaonyesha ni jinsi gani viongozi wa CCM wamezoea kutoa majibu ya rejareja na kusababisha taabu na shida kwa wananchi. Hakuna mtu mwenye akili ya kawaida asiyejua jinsi biashara ya pembe za ndovu na faru inavyopigwa vita duniani...
Usisahau kuwa hekima inaweza kutoka kwa aliyesoma au vinginevyo. Kwa taarifa yako kutokujua kusoma kwa huyu diwani ni matokeo ya sera mbovu za elimu chini ya uongozi wa CCM kwa zaidi ya miaka hamsini!!! Katika mchakato wakuleta maendeleo halisi ni lazima kuwashirikisha watu wote ili kila mmoja...
Mleta uzi ana matatizo. Ruzuku ya CCM chama cha magamba inafanya nini???? Sikumbuki ni lini niliona maelezo kuhusu matumizi ya ruzuku ya CCM au chama chochote cha siasa mbona ameishupalia CHADEMA?. Tafadhali mleta uzi tuonyesha matumizi ya ruzuku wanazopata vyama vingine vya siasa kablba...
Kuomba msamaha ni jambo zuri sana kama ombi hili linatoka moyoni. Ni kipimo gani kitakachoonyesha moyo uliopondeka kwa makosa yaliyotendeka? Ajirudi na akakiri kwa viongozi aliowazunguka kuwa hatarudia makosa yale na afanye kazi kwa moyo mmoja. Kwa tahadhari tu hii apology isije ikawa kama ile...
Mpita Njia umenena sawa kabisa. Serikali ilitakiwa itoe msimsmo dhahiri kuhusu sensa na kauli mahususi ya kusimamisha shughuli zote za kisiasa bila kujali CCM au vyama vya upinzani. Sasa shaka inakuja kwa nini kule Zanzibar CCM iliendelea na kampeini za kisiasa ilihali sensa ilikuwa inaendelea...
Mzee Ngano:Usiwe na moyo wa kukosa shukrani! Kazi aliyoifanya Mwakyembe kuhusu reli anastahili pongezi. Tafadhali elewa kuwa maendeleo ya kweli yanatokana kwa kuweka rasilimali watu mbele ya vitu vyote. Kwa vyovyoe kazi ile isingekuwa na maana kama isingelenga wananchi kwanza. Mengine yatafuata...
MAFIILILI: Mbona hoja yako inaonyesha mapungufu katika kuunganisha mawazo na mwenendo wa wana Mtwara? Iweje watu wa Mtwara ni 100% CCC (kulingana na maelezo yako wakati wa uchaguzi wa 2010) halafu wakubali kuandamana kupiga serikali ya chama chao kipenzi CCM? Maelezo yako yanaonyesha kuwa hawa...
Huyu jamaa Mwigulu) ni wa ajabu sana his arguments are so childish. Lema aliposimamwishwa ubunge serikali ya CCM ilikuwa wapi? Je, yule judge aliyemhukumu mwanzoni ni wa kampuni binafsi au ni wa serikalii hii hii ya CCM? JF Great thinkers please don't waste your precious time on this CCM...
Umeme kutokana na gesi unaweza ukazalishwa Mtwara na kuingizwa kwenye grid ya taifa ili wananchi wale wafaidi ajira. Kwa upande wa gesi kwa matumizi ya nyumbani uangaliwe utaratibu utakaowezesha uzalishaji wenye tija kama ni pale pale Mtwara au kwa njia ya bomba hadi Dar. Kwa matazamo wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.