Hapa nawaza tu...ni vitu ambavyo vinawezekana kufanyika kwani kwa sasa lengo la CCM litakuwa kupunguza nguvu ya upinzani na kuwagawa.
Hivi ikitokea JK akampa Zitto au mmojawapo wa wabunge machachari wa Chadema (nikiangalia hapa naona uwezekano uko kwa Zitto zaidi) uwaziri, itakuwaje? Maswali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.