tanzania njema, sidhani kwasababu jina lako liko hivo nikuwa tanzania ndo ilivyo njema, kashfa ni kashfa, hao ndo viongozi waliosema kuwa vitu kama bay watch night visionyeshwe kwenye tv wakati wao wanaongoza kwa tabia zilizooza(sorry to say that) it is the truth. na maadili ni maadili tu, mda...
Hivi huyo Spika hajui kuwa kuna barua nyingine inazobidi zisomwe ni zile zilizotoka kwa wananchi wenye uchungu na nchi yao?
Hajui kuwa huyo raisi ni sisi tullimchagua, kwa hiyo tuna mamlaka juu yake? Hajui hilo? Mawaziri wajiuzulu, umma wa watu unataka hivyo, as long as JK is concerned, he also...
Quote:" Breaking News: Baraza la Mawaziri Limevunjwa!
Taarifa za sasa ni kuwa cabinet imevunjwa na Rais anapeleka jina la PM mpya bungeni kesho saa tatu asubuhi"
Watanzania embu amkeni, Raisi anapeleka jina la PM bungeni????anampelekea nani? hivi kwanini sisi tusipeleke jina la RAISI mpya...
sasa Lowassa alijua kuhusu Richmond, kwa hiyo naye JK pia aliyajua yote haya. JK jiuzulu. uchaguzi uanze upya. watu wanakufa njaa,barabara mbovu, bunge litaifishwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.