Actually leo tigo wameniboa cos mpaka na tg pesa imezingua maana
nlikua na miad na mtasha mpya na mid akinipigia cm 2 ndo ishu mpango, sasa watatulipa nn unadhan hawa
Nimefurahi sana uwepo wa mada hii, ila munafaham kama wakati unaongea?ikiwa mbatata, vitunguu jiulize je watu hupewa bure, munasahau hata kuipenda na kuitafuta Tanganyika, kama munadhani waznz wanaung,angania huu muungano kwanin mh kikwete hatmki km mgogoro wa kikatiba ni kutoa kiti cha umoja...
We ibange, ibangi kweli yaani aibu yote ile ilomkumba ya EPA na RICHMOND dhan CCM waendelee kumueka 2, c kwa7bu hawawezi ila khofu yao CHADEMA, watakua washapata bonge la point, na km watamuweka LOWASA Ni udhaifu pia kwa CCM, Ila kwa upendeleo mwaka 2015; mgombea ni Mwanamke, nyie hamjajiuliza...
Nyie tabirini weee, but hiyo kutabiri kwenu mwaka huu rais wa Chama Cha Mazuzu, anatakiwa atokee visiwan kwa mujibu wa kila njia,,, sasa hapo akili kichwan mwenu mutabir vizur 2
Tatizo halipo kwenye waumini wa kiislamu kukataa kuhesbiwa katika sensa ya taifa bali ni tatizo lililojitokeza hivi karibun kuna mtu na ofic yake ikiwa na kalenda lenye kuonesha tatthmini ya idadi ya watanzania kwa ujumla..Eti 70%ya watanzania ni waumini wa dini ya kikristo na 30% ni waislamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.