Hata mi nmechaguliwa hyo coarse nmefka chuo nikawaulza kuhusu 2liopata mkopo wakasema accountant manager kasafr jmoc anarud ili anifanyie brkdown ya loan ili nijue nalpa sh ngap en 2pia# zako ili 2mit coz 2ko facult 1 or zngu0652780213
Mbona mi yangu imekubal nazawengne msiwe wabsh jaribun yan unavoeka ile user name yko kwny cas huwa inakua kama hv s0714/0163/2009 sasa uceke kama 4mat hyo eka iwe s0714.0163.2009 huu ni mfano hlf eka ur pasword yan kwny ile site ya login 4 higher student i swear 2 god ctanii
ni kwel ukitaka kujua ili uingie kwenye mkato eka nukta wakat unaeka number yako kama user name mfano s0781.29121.2009 na ueke paswrd zako yan ucje ukaeka mkato eka nukta? ukfanya hvo ndo utaweza login kwny hyo site ya login 4 higher institution halaf fuata maelekezo
ANGALIA HAPA KAMA JINA LAKO LIKO HAWA NI KWAWALE AMBAO INFORMATION ZAO HAZKOUndergraduate applicants with multiple problems in their application forms:A S 465:
mbona kwenye profile nyingine kama ya rafiki yangu kunazo selections zote alizochagua kwangu hamna kitu kama hicho nashindwa kuelewa tcu wanamaanisha nini kwa ambao selection status zetu hazipo sasa sijui kwa ambao za kwetu hazionekaniki ndo tuombe second chance or........????:A S 465:
Undergraduate applicants with single problem in their application form -List 2 endelea kubofya hapa uone list namba 2 ya majina ya waliokosea kwenye bodi ya mkopo
wadau heslb wametoa majina2649 ya undergraduate waliokosea application na 144 wa postgraduate yan hii ni nouma sana ila msijali mnaweza angalia hapa majina yote ya undergraduate na postgraduate lakini hii ni ujanja wa bodi ya mkopo kutoa hii idadi ya watu ili wasipate mkopo bofya hizi link nlzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.