Big up ! Sio kwa wasema kweli...... Ooohhh wajomba wa Mahenge, RIP, we love you. Dr Ulimboka, Get Well Soon.
Mungu atawaadhibu waliohusika kwa vitebdo na hata kwa hoja, waraadhibiwa hapa Duniani na mbinguni.
Wanafikiri Madaraka ndio kila kitu, wajiulize waliowatangulia mbele za haki, hawajaacha...
Ze komedy ilinunuliwa kupitia DALALI Manji wakanunuliwa na TBC. Mmesahau TBC inamwakilisha nani ? Poleni waTZ wenzangu. Mie naangalia ITVVVVVVVVVV.....DAIMA
Magazeti na radio acheni kutumia neno " Dr. Ulimboka kapigwa na watu wasiojulikana".
Inatuuma saaaanaaaa kusikia tamko hilo linavyopotosha. MNATUMIKA ??
CHADEMA mpo ?? Haya MADUDU yanayotokea kwa mpinzani wako naomba yawe njia rahisi ya ninyi kuzoa kura 2015. Mwakyembe's NOW Dr. Ulimboka PLUS ufisadi, kagoda, EPA , meremeta, report ya CAG 2012, nk nk nk haviwatoshi tu ?
Naumia sana nikisikia " dr. Ulimboka kapigwa na watu wasiojulikana". Jamani hata kama watanzania ni wajinga sana, lakini si kwa kiasi hiki. Wakuu acheni kutubeza. Aliyefanya haya anajulikana. Mnatupeleka wapi Watanzania ? Plz plz plz hatutaki siasa za mitindo hii. Tunataka ukweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.