Kwanza reforms ikishakuwa "a lot of" inapoteza uhalisia. Kwanini isiwe tu "there are reforms going on in our ministry"
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Unapandaje daladala na 6.4? Ungechukua usafiri mwingine. Na huko kwenye daladala ulisinzia au ilikuwaje?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Sasa unalalamika halafu unaweka ushahidi unafuta zile sehemu muhimu za kuonyesha jinsi ulivyokatwa. Huna akili kabisa
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Hujui legacy ni nini umejiandikia tu kama chizi. Anyway, hebu tafuta shughuli ya kufanya ya kukuingizia kipato. Legacy ifutwe, isifutwe, haikuongezei ugali nyumbani kwako.
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Ni kweli alihama na timu yake kutoka PPF. Na sijui alifanya utaratibu gani kuwapatia nafasi za umeneja
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Unamzungumzia Ndugai yupi? Huyu huyu anayewapongeza hao La Saba kuwa wanajenga hoja vizuri? We ushangai kila siku wanapata nafasi ya kuongea bungeni?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Hivi Ndugai ameshazungumza lolote kuhusu wale "wabunge" 19 wa viti maalum wasio na chama? Akizungumza mnitag, natoka kidogo.
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Acha upumbavu. Amesema aliomba hizo nyaraka Rais akakataa halafu unasema kwanini alikaa kimya! Ulitaka aende public amshukutumu Rais?
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.