Ndugu unaweza ukawa msomi lakini ni wa kitabu tu,Tena ni hasara kubwa kama ulikuwa unasoma kwa kukariri au kuunga unga vyeti.Ndo maana wana umbuka sana,Na hata jamani ushauri wa kichwa chake uko miguuni,akilala unamjia na akikanyaga chini anapoteza matirio labla hapo bungeni waekewe kitu cha...
Ndugu hatuendi hivyo,Kila kitu kina malengo,unakula hili ushibe,unavaa hili kuficha uchi,una panda mimea hili ukifika muda uvune na zaidi Hata Mungu aliyeumba dunia yeye kama yeye aliwaumba wanadamu hili waongeze nchi hata ukisoma neno lake kwenye biblia.
Hivyo basi ndo maana kuna faida na...
Jamani ndugu zangu Shikamooni na kwa vijana wa rika langu Mambo!
Nimekuelewa sana,na umeelezea vya kutosha,ni wajibu nikusifu.
Unajua kila kitu kina chanzo,ndiyo!! sikatai kuna wengine ni kwa sababu ya kibiologia lakini wengine wanajitakia eidha kwa kutoa mimba ambapo hapo tukiongelea zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.