Ndugai huwa ananishangaza sana ubongo wake!! SS mbunge wa viti maalumu ataachaje kuwa na mahudhurio mazuri? au waziri Jenista ataachaje kuwa na mahudhurio mazuri na huku bungeni ndo moja ya ofisi yake? Mahiga atahudhuriaje vikao over 50% na huku ni foreign minister!!
Nadhani kwa maoni yangu serikali ilitakiwa ije na mkakati wa ku-subsdise bei, mwisho wa siku mkulima apate, wanunuzi wapate, ajira ziwepo (viwandani, wasafirishaji, wauza mafuta, makuli), ikusanye kodi kitaifa na ushuru wa halmashauri husika, na ipate forex!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.