Jamani wanajamii forum naombeni CV ya mheshimiwa mlugo, ninamashaka sana Elimu yake na uwezo wake kuongoza.Kwani kunasiku alikaririwa na vyombo vya habari akisema walimu hawastail kukopeshwa fedha na taasisi za fedha.kwani wamekuwa wakitoroka vipindi kukimbia madeni,wakati walimu hukatwa pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.