Baba wa taifa Mwalim Nyerere tungekuwa na uwezo wa kukuomba urudi walau masaa 2 ujionee nchi hii inavoendeshwa, rithishana madaraka, ulaji wa national cake hakika tunauhakika huyu wa sasa ungemchapa viboko hadharani. Huyu mtu anasemwa kila sehem ila kakaa kimya kama hayupo kabisa. NJOO UMCHAPE...
Lowasa ndie ataechaguliwa gombea urais bisha usibishe sisis tuliokaa jikoni ndio tunaejua na tunajua wakuu wa wilaya ambao wamechaguliwa na ccm ndio waliopewa hata hilo jukum la kuhakikisha Lowasa anakuja kupita. huoni tu kwa mtazamo wa kawaida jinsi anavojiamini, umesahau alisema washindani...
Mie napita tu jamani. Kumbe Vitta Kawaw bado ni mbunge? ndo mara ya kwanza nini kuongea bungeni toka aingie bungeni baada ya kumwangusha mzee Pius Mbawala.
:smow:
:mad:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.