Nyerere is raising from the grave! Kwamba upinzani wa kweli utaibuka baada ya CCM kubomoka.
Sasa pasuko la tetemeko ndani ya chama ni zito! Watu hawaogopi kusema wakifukuzwa wanahamia chadema wanarudi bungeni kama kawa.
Kuridhisha ni wananchi na is chama sasa!
Eti kazee kawatu...
Tatizo watanzania tumekuwa walalamikaji sana na kupaka matope viongozi wetu kwa kisingizio cha upinzani.
The guy had been voted in by yo self, sasa mnalalamika nini. If you do like democracy acha ifanye kazi yake. Ila personally I think ni mwanya wa kuwa na watu wapuuzi wanaojiita viongozi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.