Taarifa ya Polisi wa Iringa wanasema alijipeleka mwenyewe kituo cha Polisi. Taarifa za Polisi wa kanda maalum Dar zinasema kwamba alikuwa anaendelea na shunguli zake hadi alipokamatwa na Polisi. Basi sawa.
Masoud Kipanya
Just now ·
Poleni kwa usumbufu na asanteni kwa kujali hali za wengine. Niko salama Alhamdulillah. Namshukuru pia aliyesambaza taarifa.
'AMESAIDIA.
Nitakuwa simdai tena konda chenji 50 50 zangu. Maana nikisema "Wewe konda nipe chenzi yangu usawa mgumu vyuma vimekazaa kila siku afadhali ya jana" Hilo ni kosa ki Sumatra.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.