Mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.