Mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri.
Unajua watu wana hasira nae bado pale shinyanga,siku ya kutangaza matokeo alitangazwa kuwa mbunge kwa kumzidi kura moja tu mpinzani wake
Kumbe, sijutiii kujiunga JF, hapa unafahamu mengi !!!!! Mtu akashinda kwa kura moja tu !!!!! Halafu Mpinzani wake akafariki. Kama nguvu hizi zinazowekezwa kuutafuta ufalme wa dunia hii, zingetumika hivyo kulinda nchi, tungekuwa mbali.
Huyu alishinda kwa kura moja,nasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungo
Huyu alishinda kwa kura moja,nasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungo
sure kabisa, ana bibi yake matata kwa ulozi si wa kucheka naye hata kidogo.
kwani alishawahi kwenda akasumbuliwa?