e bwana shwari kabisa sasa kama kawaida kule ughaibuni kama vipi join up kwa group ya facebook kwa group inayoitwa TAMOSE hapo mzuka utaenjoy na kufanya safari yako iwe na maana.adminstrator wa hiyo group anaitwa castro ze paedatrician.msifanye mchezo oohooo.....
mi nadhani vijana tuzidi kutupia maswali angalau tusaidiane maana tusije tukapoteza watu either kwa kutoa majibu ya kukatisha tamaa huu ni mtandao wa jamii bwana.big up prezdaa
friends of mine vuta pumzi ili usomapo upate nafasi ya ubongo wako kupata kuelewa kile kilichoandikwa kwenye web ya tcu badala ya kupanic na kufanya maamuzi yasiyofaa.usipende kuambiwa kila kitu jaribu kuperuzi kinagaubaga big up sana wadau
real terifying guys without mkwanja full kuhaso coz badala ya kufikiri kitabu kitapandaje hewani u think about what u gonna eat hebu tungoje kwa hamu yani hapo wasifanye mchezo kabisa
vijana hebu tujiulize maswali mengi yasiyo na idadi,huenda ubongo wetu na ufahamu ulio ndani yake utagutuka na solution iliyo bora.Je wewe hapo unafanya nini kilicho bora zaidi kwa maisha yako ya sasa na baadaye.Je wajua kwamba kile ukitazamacho,ukisikiacho,unenacho ndicho hujaza ubongo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.