mm na shangaa watu wengine cdm nichama makini hakikurupuki kufanya maamuzi kutohuzuria kwenye sherehe za muungano ujue kuna mapungufu mengi yamesha onekana ndio maana wana hitaji kuona hati ya muungano sasa kwa watu wavivu wa fikra ndio mnata kila lilo anzishwa lifuatwe bila hata kufuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.