"As you learn more as you know small " hilo nalo neno u prof wa kitabu ni tofauti kubwa na ule wa utekelezaji na hakuna prof katika uadilifu. Tuwaombee tu kwa bwana God waondokane na mapepo ya kifisadi. Eee bwana God muumba wa viumbe vyote ingawa wengine wanamkiuka kwa kuwa na vitambi vya kero...
cdm wakimuunga mkono hapo nitaamini ukweli kuwa binaadamu tuna tabia za wanyama tena cdm viongozi na wanachama wake watakuwa na tabia za mnyama yule mwenye kutoa kinyesi na baadae kufanya msosi. kwani cdm ndiyo walitangaza kuwa EL ni fisadi mwandamizi leo aonekane anafaa eeh hiyo ni ajabu na kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.