ushahidi upo tigo, takukuru waende wakachukue info za profile lake na tigo watawapa hapa watakuta hzo sms na watu wote aliowatumia na pia wote waliomtumia hyo msimazi. Maelezo yaliyotolewa na wanajamii ni nyenzo ya kuanzia uchunguzi.
GOOD Mzawa Halisi, kuna Campany moja la Simu linalojulikana Ndio lina network eti Nzuri Limefuta promotion yake ya kufurahi hvyo kwenye mikoa mingi ya Tz
Vodacom: hivi ni kwa nini lakini?Siku hizi hawa Jamaa wamekuwa na mtindo wa kutujazia wateja Inbox zetu kwa Meseji juu ya Products/Services zao mpya (ambazo hata hivyo huwa hazidumu).. Hii ni Tabia ya Tigo, Voda wameamua kuiga?
Siku hizi Vodacom wamekuwa wakianzisha Products/Services ambazo...
Watakua wametumwa na kampuni ya Mafisadi tena pesa za wananchi. tiGo full shangwe hakuna mambo ya Kibwege ya kikuda ya Kulia watu pesa kwenye promotion. eti ukijiunga cheka ata saa 23:55 siku hyohyo ikifika saa 24:00 eti masaa 24 yameisha( huu ni mtandao wa mafisadi wanaumiliki) lakn Tigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.