Ni sheria gani zinazozuia Tanzania kupata access ya generic medicines? and then if there is a currently negotiation regarding intellectual property and their impact in access to medicines...
Loh!! ubinadamu kazi kweli kweli!!kuna wengine kazi yao kukosoa na kuona ubaya wa watu wengine. Unajua ni umauti gani utakaokupata ndugu????au waongea tuu ilimradi una uwezo???tumia pumzi, akili, hekima na uwezo aliokupa Mwenyezi Mungu kumtukuza kwa kutenda meme siku zako zilizobakia na siyo...
"Msihukumu msije mkahukumiwa,kipimo kile kile mtakachohukumu wengine ndicho hicho hicho mtakachohukumiwa", na zaidi ya yote ndugu zangu tukumbuke maiti huwa haisemwi kwa ubaya mwacheni ubaya wake aende nao na kama kuna jema tuliloliona kwake tuliige na siyo kuendeleze majungu ya kusema hata wafu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.