Naomeni msaada,kwenye masomo mtu ambayo anatakiwa awe ameyasoma moja wapo ni criminal law and procedure au criminal law or procedure?kwa sababu mimi criminal law ilikuwa option so nikachagua somo lingine lakini crpc niliisoma,sasa wanaweza wakanikataa kwa hilo?
duh..miezi 2 umempiga chenga?!!,...dnt u thnk alifikiria mengi sana during those 2months..am sorry lkn sh hs decided to move on,hatakama anakupenda ye anaona bora aendelee na maisha yake tu...kama si hvyo basi na wewe usubiri miezi 2/3 uone niaje niaje.....koma kuringa...hahahahaa,pole lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.