Ndugu punguza jazba! Toa haja na usome kwa makini nilichokiandika.Nimesema, "kuna bonde kubwa kati ya tajiri na maskini hapa nchini" na sii ndani ya CCM.Ndani ya ccm inawezekana hakuna masikini! Sasa hawa wakina mama wachuuzi na wamachinga wanaokimbizwa kila siku mjini serikali na chama chenu...
Sasa unataka hoja gani! ccm kuwa kimbilio la maskini wakati ukiangalia kuna bonde kubwa kati ya maskini na matajiri wakati huu hapa nchini. Mijini badala ya kuwawezesha wakina mama na wamachinga, serekali ya ccm ndiyo inayowakodolea macho Mgambo wa majiji kama Dar,Arusha,Mbeya ,Mwanza na...
Kuna mambo mengine unayopaswa kukaa na familia yako na kuwakaririsha kama hili kuwa CCM ni mama yao!! na sio kuja kutukaririsha wengine. samahani sana.
Mbona jibu hapa ni jepesi! Raisi anapoteua mtu kuwa mbunge ktk zile nafasi 10 alizopewa kisheria, haimaanishi kuwa aliyeteuliwa aongozwe kama rimoti na matamanio ya aliyemteua au matamanio ya chama atokacho raisi.Hapana.Hapa anatakiwa afanye kazi kwa maslahi ya Taifa n SIO kwa maslahi ya...
Ndugu zangu Wanachadema. sasa chama chetu kinapitia katika wakati mgumu sana kuliko wakati mwingine wowote!
Kuna mapandikizi ambao wamo ndani ya chama ambao wana tafuta kila njia kukiua chama.Hawa wakina Mwigamba na wengine naomba tuachane nao kabisa, kama yeye anania nzuri na chama na kama...
:bange:Kati ya Wanyiramba wanaoona mwisho wa Pua zao ni pamoja na huyu jamaa Nchemba!!!! Nduguyangu vuvuzela la ccm nchemba, nakushauri uanze kutafuta kazi nyingine ya kufanya kwa vile baada ya 2015 utakuwa kijiweni huna kazi wewe na wenzako wa ccm.Napenda kuku hakikishia kuwa, ndoto ulizoota...
:focus: Mkuu unashangaza sana! mleta mada anasema tuonyeshwe hata picha za mazishi ya Balali! Hata picha za mazishi ya raia wa Kitanzania zinahusu Majeshi na zinahitaji taratibu za kijeshi kuzitoa? SAMAHANI NILIKUWA NAPITA TU NIKAONA HII MADA!!!!!!!!!!!!!!!:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
:A S-baby:Wewe vipi!!!! Unamwita Dr. Babu!!!! Alimzaa Mama yako Au Baba yako!? wewe ndani ya ccm ni nani,au na wewe
umeshaorodheshwa kwenye kamati ya mavuvuzela wa chama? Dr anaposema ana data mweleweni tu hivyo hivyo habahatishi kama wakina Nape. Na maswala ya Slaa na kanisa wewe yanakuhusu...
:focus: AMA KWELI AKILI ZAKO ZINAKUTOSHA WEWE TU.WASANII WENU WEWE NA NANI! UNAMSANII YEYOTE WEWE?AU CCM KUDANDIA MSIBA ISIYOWAHUSU. UKIFA WEWE NDIO ATAHUDHURIA. JINGA KWELI WEWE!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa nini Dr. Slaa apendi kwenda kwenye misiba ya wasanii wetu. Dr. Slaa anaonekana kwenye misiba...
:plane: Unaumwa wewe,unaishi wapi ndugu yangu? au mnakaa kwenye nyumba za hao vilaza ccm wewe na Nape?
Mpaka sasa hujaamini kuwa tayari mmeshagaragazwa kabla hata ya uchaguzi wa 2015!!!!!!!!!!! Wewe kweli ni kilaza!!!!!!!!
Hii ni kali kweli kweli , hao ndio polisi wa Tanzania bana, aibu tupu!!! Sasa m/kiti wa watu anahusikaje na kupigwa kwa mpenda wake za watu!? polisi waache longolongo, wanataka kesi iende mahakamani mara tusikie mshindi amenyang'anywa ushindi.uchaguzi na kufumaniwa havina mahusiano, polisi...
Hata mimi namshangaa sana huyo jamaa anayejiita mchukiauovu kwasababu tayari ameshachukua nafasi ya Mungu kutoa hukumu, eti hatakama Lema akishinda ataishi maisha ya hovyo hovyo tu kwa kuwa amemtukana mwanamke!!! Huyo Batil
ni mama yake? Mbona hasemi kuhusu hukumu inayowasubiri hao wachoma...
kwanza! mleta mada haja fafanua ni nini kumemgusa katika uongozi huu wa Kikwete, ila amebaki akibwata tu kama kalunguyeye!! Kama "angependa katiba ibadilishwe ili hicho kipenzi chake agombee tena 2015, siaende kwenye tume ya mabadiliko ya katiba akayaeleze hayo"!!!!! Hapa jf sio pa kuomba ruhusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.