Kama kweli nia ipo makao makuu ya wilaya hayana impact, ina maanisha wakikubali mtarudi tena ccm kama mkihama usiingie mahali kwa masharti huo sio upenzi wa kweli. Acheni bendera fuata upepo wabena ndio maana hamendelei.
uLE MWAKA WATU WALIKUWA HAWAJAJUA MAANA YA MABADILIKO LEO HII HUMDANGANYI HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAJUA KUNA VYAMA. SASA WEWE UNAYEWAZA MAMBO YA MWAKA 47 NAKUONEA HURUMA KWANI HUSONGE MBELE BALI UNARUDI NYUMA. KAMATA BOMBA TWENDE......
Hapiti mtu hapa hiyo mahakama yao wanang'ang'nia nini iingie kwenye katiba kama sio kuna kitu kwenye pazia ambacho kitajitokeza baadaye. Udhalimu huwa haufanikiwi hata siku moja. Mungu yupo na anaijua nia ya mioyo yao.....
Ukweli vita hiyo siyo ya muungano ni ya dini kwa sababu kama ingekuwa ya muungano wangechoma ofisi za serikali kwani kanisa lina kosa gani hapo? Mungu yupo.
Chagua watu wenye uchungu na nchi yao sio wachumia tumboni watakusumbua sana... Hata kama ni mtoto wa mfadhili achana nao tena hao ndio wabaya sana... Ushauri wa bure...
[/U]
ukioa mke unapanga na tarehe ya kuachana au basi huna commitment vijana wanajua wanachokifanya na sio bendera fuata upepo. halafu wenzako wana Mungu wa kweli wewe je?
unapopanda mnazi kumbuka kuweka fundo ili utakapokuwa unatelemka uwe na vituo vya kusimama kwanza kuliko utoke juu hadi chini puuuuuu! binadamu tuna tabia ya kujisahau. Mungu anasema utakapofankiwa usimsahau yeye aliyekufanikisha. hivyo watu walifanikiwa wakasahau hata aliyewapa sasa wametelemka...
Amebarikiwa anaeibariki israel, amelaniwa aneilani israel. Kama lengo lenu ni zuri hakika sasa hivi mtakuwa mbali. Na hekima hiyo hamjafunuliwa na mwanadamu bali mungu mwenyewe. Hakika mungu hana upendeleo.
Mungu hadhihakiwi kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. ukipata mema utavuna mema ukipanda mabaya utavuna mabaya.kwa hiyo watanzania msilie sana Mungu wa Mbinguni yupo kazini. ila wandugu sikilizeni bila kuweka ubalozi wa Israeli Tanzania, tutalia hadi basi kwa hiyo mmekaribisha Ishmaili Isaka...
Dhambi ni aibu mbele za Mungu lakini Haki huinua Taifa. Bila haki taifa haliwezi kuinuliwa ikiwa kuna dhambi za makusudi na Mungu hapendi kuona watu wanawanyanyasa watu kwa maslahi yao. Tutaendelea kuomba Mungu sio kiziwi atajibu kwa mapigo 10 ya wamisri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.