Hili suala la machafuko ya Zanzibar mi naona ni matokeo ya mfomo mbovu uliopo na unaoendelea kuwepo chini ya Serikali hii ya majoka ambayo imeshindwa kabisa kuja na suluhisho la kudumu la matatizo na kero za muungano. Mda mwingi wanautumia kupanga mipango ya kugawana vyeo na madaraka na kusahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.