Machafuko Zanzibar, nini suluhisho la kudumu? Je tuwaache waende zao kwa sababu ni shauri yao?

KOMU E

New Member
Apr 3, 2012
1
1
Hili suala la machafuko ya Zanzibar mi naona ni matokeo ya mfomo mbovu uliopo na unaoendelea kuwepo chini ya Serikali hii ya majoka ambayo imeshindwa kabisa kuja na suluhisho la kudumu la matatizo na kero za muungano. Mda mwingi wanautumia kupanga mipango ya kugawana vyeo na madaraka na kusahau kero za muungano. Kwa mfano nguvu, utashi,ushawishi na utashi wa kupiga kura ya maoni ili kuunda serikali ya mseto zanzibar wangeitumia kutatua kero za muungano. Tujadili
 
Hili suala la machafuko ya Zanzibar mi naona ni matokeo ya mfomo mbovu uliopo na unaoendelea kuwepo chini ya Serikali hii ya majoka ambayo imeshindwa kabisa kuja na suluhisho la kudumu la matatizo na kero za muungano. Mda mwingi wanautumia kupanga mipango ya kugawana vyeo na madaraka na kusahau kero za muungano. Kwa mfano nguvu, utashi,ushawishi na utashi wa kupiga kura ya maoni ili kuunda serikali ya mseto zanzibar wangeitumia kutatua kero za muungano. Tujadili
kweli yasikitisha
 
Wapewe kile wanachokitaka,kama hoja ya kura ya maoni kwanini wasipewe?Kwasababu ni miaka 48 tokea huu muungano ulivoundwa na nadhani ni haki yao kuujadili muungano kama waendelee nao au muungano wa aina gani uwepo.Na sio kwa wazanzibari tu hata sisi watanganyika vilevile tupewe fursa ya kuujadili kwani na sisi tunayo haki.
 
Back
Top Bottom