Mimi sijamuelewa huyu afisa habari,kwani hao watu mnaotaka waje hamjawapa mialiko rasmi mpaka mlete huku jamii forum? Sasa kama ni chama cha mitandao kuna shida sana na hii ACT
Huyu Zitto ni bepari namba moja,sasa hivi kakamilisha ujenzi wa nyumba yake ya kifahari na hii ni kati ya majumba ya kifahari anayoyamiliki kutokana na pesa za rushwa anazo kula.Nyumba hii ya kifahari kwa sasa bado inalindwa na mlinzi anaeitwa Edgar,haijajulikana kama atahamia yeyey kutoka pale...
Tukio lingine ni Kikwete kuhongwa suti tano na Kinana kuuza Ndovu nje ya Nchi,na Ridhiwani kukamatwa na unga(sembe) China. Kwa sasa hivi naishia hapo,baadaye nitarudi tena.
Juliana utahangaika sana,kazi ya kuandika ujinga ndio inakuweka hapa mjini. Wewe uliuuza utu wako kwa sababu ya kuganga njaa na kwasasa kazi yako ni kuburudisha wale wanaohitaji huduma hapo Lumumba. Shame on U stupid lady.Huna hata locus ya kuchangia masuala ya msingi katika nchi hii.
Kubenea angekuwa mchekeshaji je Rais amekutana na viongozi wa vyama ili kujadili nini? Kama ingekuwa mchakato ni sahihi na halali basi hata Rais asingewaita ili kujadili. Nadhani ni vema tukaweka unafiki pembeni na kuangalia ukweli halisi. Ni kweli BMK inapoteza muda na pesa za watanzania...
Ni kweli unyama huu uliofanywa na askari hautasahaulika! Ninaamini damu ya Mwangosi itaendelea kuwafuata wauaji wote. Familia ya Mwangosi nawaombea Mungu aendelee kuwapa ujasiri na kuzidi kumuomba yy huku mkiamini ya kwamba ipo siku wauaji watapata hukumu toka kwa Mungu ijapokuwa hukumu ya...
Juliana unatia huruma sana,inaonekana jinsi unavyoikumbuka Chadema, huko uliko matumaini uliyokuwa nayo ya kuwa mbunge mwaka 2015 ndio yameyeyuka. Unabaki kuikumbuka Chadema kila siku.Pole nadhani ni njaa za muda mfupi ndio zilikuponza.
Kwani aliekabidhiwa Wizara hii nyeti hivi karibuni hatumjui. Wanajamvi ni kweli Waziri aliekabidhiwa wizara hii hamumjui? Kama mnajua basi huyo ndio Jangili.
Inawezekana mtoa mada una tatizo kwenye ubongo,mara uchochezi mara Freelady.Binafsi nampongeza Mukya kupata mtoto pamoja na baba wa mtoto.Hongereni sana. Mungu amlinde na kumkuza mtoto vzr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.