Tumeshuhudia ktk uchaguzi mdogo Arumeru jinsi nguvu ya umma ilivyofanya kazi kupata mbunge stahiki. Watanzania yabidi tujifunze kutoka jimbo la Arumeru mashariki kwamba hakuna kinachoshindikana pawapo na nguvu ya umma. kwajinsi hii, mabadiliko yatapatikana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.