Ni vema tukatafakari mambo kwa kina kama watanzania kabla ya kutoa hoja zetu hapa kwenye jukwaa, nionavyo mimi madai ya chadema kuhusu hati ya muungano ni ya msingi sana. Kwa hali halisi muungano unaoneka ni wa upande fulani jambo ambalo litaathiri muungano wetu tukufu hapo baadaye. Wito wangu...
According Albert Einstein "You cannot solve the problem by using the thinking that created it". Kwahiyo hoja kwamba Bwana Zitto angekuwa chini ya uongozi wa ccm angengara tu ni dhaifu sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.