Kwahiyo kuwatambua wafanyabiashara wadogo ni kuwalipisha fedha zisizoendana na kiwango cha biashara wanazofanya? Kama suala ni kodi ni kwanini wasiweke utaratibu wa kufahamu mapato yao kulingana na mauzo ili walipe kile wanachostahili? Huu ni wizi.
Ni kweli ni mbunifu wa mavazi, mnafikiri atakuwa mbunifu katika masuala mazito kama ya kisiasa? Kama amechaguliwa ili akawe mbunifu wa mavazi ya chama huenda akafanikiwa.
Hivi huyu ni Mwanakijiji yule yule niliyekuwa nikimfahamu miaka michache nyuma kwa hoja zilizojaa mashiko? Ninajiuliza mara kadhaa bila kupata majibu ni nini hasa kinaendelea kichwani mwake au ameamua kutumikia tumbo?
1. Hivi suala la kiongozi kutumia vyeti na jina feki kwako wewe sio suala la...
Kikubwa kinapochopaswa kufikiriwa hapa ni tuhuma dhidi yake zilizopelekea yeye kuvuliwa uanachama.
1. Je ameacha matendo ya kuvujisha siri za chama chake kwa chama tawala?
2. Alikuwa chimbuko la migogoro ndani ya chama akitumiwa kufanya hivyo na ccm, je amebadilika?
3. Alianzisha chama chake...
Anayeweza kurudi ni mwanachama aliyeondoka mwenyewe kwa ridhaa yake kama Kafulila. Zitto alivuliwa uanachama akakimibilia mahakamani ambako napo alikwaa kisiki. Sina hakika kama anaweza kurudi ijapokuwa katika siasa hakuna lisilowezekana.
Hivi Machali amefufuka lini?
Kisiasa Machali ni mfu toka alipohama NCCR kwenda ACT. Kama yeye anaamini kuwa serikali hii inatekeleza yale anayoamini yeye kuwa ni mema basi hilo ni juu yake. Hapaswi na wala hana uhalali wa kudhihaki mitazamo ya wanasiasa wengine wenye mitazamo tofauti na yake...
Kwa hiyo serikali ya ccm iliendelea kumlipa Lowassa fedha kupitia (Richmon baadae Dowans na baadae tena Symbion Powers) baada ya yeye kujiuzulu? Kama sio yeye aliyekuwa analipwa ni nani?
Kama kweli ni yeye mahakama zote ni za ccm, kwanini hawafungui mashitaka? Kikwete alitajwa na Lowassa siku...
Hao wawili wenyewe wanafiki, Zitto alikuwa anakataa posho bunge lililopita kwa sababu alikuwa analipwa na ccm kwa kazi maaalum iliyokuja kumfukuzisha uanachama wa CHADEMA. Pia alikuwa anapokea posho zaidi ya mara moja kama mwenyekiti wa PAC. Sasa ameanza kujipendekeza kwa Magufuli ili atimize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.