Naomba mnijuze wana JF kama kuna taarif zozote kuhusu maendeleo ya nafasi hiyo ya kszi. Ni muda mrefu toka nipeleke application baada ya tangazo la Azania Bank kulitoa through zoom tanzania.
Mwanzononi mwa mwezi wa August 2012, Azania Bank walitoa tangazo la nafasi moja ya Senior Insuarance Oficer.Mwenye tarifa kuhusu ama usaili umefanyika au bado naomba anijuze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.