Tuwe wakweli, pinda havai viatu vya lowasa, jamaa anapwaya sana! imagine pamoja na fitina na kuchafuliwa kote stil lowasa ana nguvu sana,, pinda angekuwa amepotea kabsa iwapo yangemkuta ya lowasa
Tundu Lisu was right! Sasa amekosea wapi? Lugha ya maudhi iko wapi hapo? Cha ajabu Bi Mkora kama kawaida yake amesapoti ujinga ati Lisu alipotoka kumuuliza swali lile! PM ameshindwa kutatua mgogoro sasa kwa nini asijiudhuru? Haya mambo yatawarudi CCM muda si mrefu! Huo ni ujinga!
Ndo mana leo kaambiwa aachie ngazi na Tundu Lisu, bahati mbaya akachukia baada kuambiwa kauli hiyo! Amemtisha kwakumjibu "wrong approach"! Mana yake ni kwamba ati Tundu hakupashwa kuuliza hilo swali! Bi Mkora kama kawaida kajifanya anamtetea Pinda, lakini ukweli kausema! Big up Tundu! Mr Pinda...
Ile filamu ya jana ya huyu jamaa anayejiita usalama wa taifa imenikuna sana, jamaa kapewa kichapo ambacho hatasahau maishani! Kwanza ni mmoja kati ya wauaji na waliomfanyia umafia kamanda uli
Walimuua Kolimba, Malima, n.k sasa walitaka kumuua Ulimboka, inaikitishaaa sanaa! tuichukie serikali hii! Pinda kwa kauli yake aliahidi na vijana wake wametekelza unyama huu!
Hii Tanzania bhana, askari hao watalindwa na serikali hii ya kibabe, ila adhabu yao kutoka kwa MUNGU itakuwa haina mfano wowote ule! Ni kweli walitaka kumuua lakini cha kushangaza MUNGU kaiokoa roho yake, nawaombea hao askari wenye roho za kinyama wawe hai ili washuhudie USHUHUDA huu mkuu ambao...
Jamani mlioandaa haya maandamano wekeni sawa hii kauli kwa kuwa issue ya Ulimboka ina pubilic interest, ka hivyo itawavuta wengi zaidi kuupinga uharamia huu! hamasisheni watu wote waingie majiani!
Kauli yake ile sasa itamgharimu! Pinda chuja kauli kabla hujatoa, sasa itakugharimu, ukweli ni kuwa tunakuchukia sana mana kwa kauli ile Watanzania wanaamini kuna mkono wako! inaumiza sana!
Huu ni unafiki usiopimika! Kwa hakika hata Kubenea alifanyiwa mambo ya aina hii na maswahibu wake na yeye akijua hivyo, akawa wa kwanza kumtembelea Kubenea! Inauma sana!
Mleta uzi huu anaonyesha ni mzandiki na ni mmbia wa serikali ya CCM! Ulimboka sio taasisi, kipo chama cha madaktari kinaitwa MAT ndicho chenye maamuzi! Ulimboka hakusema huduma zisitishwe, ni taasisi ynayotetea maslahi ya matabibu. Hta hivyo kumuua mtetezi wa haki za wafanyakazi sio jibu la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.