acha utahira wewe, mbona hio nyimbo ilishatupwa kapuni, acha mawazo mgando, kwani watu wenye mawazo kama yenu ndo wadini, wakabila na wabinafsi. uwe na akili ya kuchuza wazo kabla hujalitamka
ndo tatizo la kuwa na waandishi either mambumbumbu au njaa kali, akiwa mbumbumbu atatenda anachoaminishwa bila kukifikiria yeye binafsi au kuacha anachokiamini, na kama ni njaa kali atatumiwa na wenye pesa kama mtaji tu then baadae atatupwa kapuni. mara nyingi viandishi uchwara vya namna hii ndo...
we msomi bwana HK, hautakiwi kuwa na msimamo wa kinafiki, kwahio anasubiri mpaka nyie magamba muwe na msimamo wenu wa kufanya jambo ndo nawe ushiriki hata kama halina tija kwa taifa letu? au nyie mnawaza tu siku chadema wakisema kitu mpinge? kwenye issue ya madaktari niliona kama unamsimamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.