My God!! Nimeshtuka Sana Kupata Taarifa Hizi, Nakumbuka Marehemu Alipo Tuhamasisha Kuchangia Fedha Tuka Jenga Ofisi Na Kununua Thamani Za Ndani, Tuliwah Kusafir Kwa Bodaboda Toka Makanya Kwenda Nkwini, Mgwari, Kasapo, Makongoro Hadi Chankoko Kutangaza Chama Na Kupokea Makamanda, Hakika Nimeguswa...
Inadhìhirisha wao wanahusika 100% na swala la ulimboka. Waandish wa habari mtafuteni huyo security mpate habari kamili muujuze uma ujue uovu wanaofanya usalama na polic dhid ya wananch
Kwa maneno haya kweli za mwizi ni Arobaini, utapeli huu alitumia na anautumia kuwarubuni wananchi wa jimbolake kwasababu hana mpango mkakati wowote licha ya kutapeli wananch kuwa yeye ndo anaye waletea mahind ya msaada, na kutoa kalenda, na kanga na hongo ili wamchague. Za mwiz arobaini
Nilitegemea Usalama wa Taifa wamkamate Eng Manyanya ili akatoe ushahidi, kwasababu watu wanasubiri sana taarifa ya utekwaji wa ulimboka. Chakushangaza namuona tena huyu dada bungeni. Mmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.