kupambambana na mafisadi ni kazi ngumu sana.watu hawa wanajua kila kitu cha serikaili na wengine wamo ndani ya serikali.Wana kila mbinu za kijasusi zakuweza kufanya mambo yao yafanikiwe.Kuweza kuwapata watu wenye upendo wakweli wa watanzania na nchi yao ni kazi.Watu wakisha yapata madaraka...
imefika wakati wa watanzania kuamka toka usingizini wa kifikira.kama kweli tunahitaji maendeleo basi hatuna budi kubadili upepo mwelekeo.Huwezi kuongozwa na itikadi za chama kimoja miaka yote.Mbona wao hawamwaachi mwenyekiti huyohuyo kwenye chama chao aongoze miaka yote?Kama hili haliwezekani...
Kiongozi kama huyu aliyebobea ccm kubadilika,kumtoa uccm ni vigumu kama ilivyo kwa mbwa mzee kumfundisha sheria.kwa maana nyingine Ngozi haiachi asili yake
Atafanya kazi ipi wakati wizara yake siyo maalum?Na hiyo wizara aliyopewa sijui inahusika na shughuli zipi?Ebu jaribu kufikiri wewe labda ni mwanfunzi halafu unaambiwa huna darasa maalum.Lakini upo shuleni.Je utakuwa unafanya nini hapo shuleni?Huu ni ubabaishaji mtupu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.